Thursday, March 14, 2013

WAFANYABIASHARA MADINI WAANZISHA CHAMA CHA USHIRIKA, LENGANASA ACHAGULIWA MWENYEKITI, SAMMY MOLLEL MAKAM MWENYEKITI, HARRY MUSHI KATIBU MTENDAJI

Afisa Biashara wa Jiji la Arusha Huruma Kibendwa akitoa elimu kwa wajumbe waanzilishi wa chama kipya cha ushirika cha TMTC  kwa wafanyabiashara wa madini ya vito nchini.

wajumbe wakifuatilia kwa makini

Wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa TAMIDA Sammy Mollel akiwa miongoni wa wajumbe waanzilishi wa chama kipya cha ushirika cha wafanyabiashara wa madini ya vito wakimsikiliza kwa makini Afisa biashara wa jiji la Arusha Huruma Kibendwa(Hayupo pichani), kuhusu uanzishwaji wa chama hicho.

Wajumbe wa chama kipya cha ushirika cha wafanyabiashara wa madini TMTC wakimsikiliza kwa makini afisa biashara wa jiji la Arusha Huruma Kibendwa(Hayupo pichani)

Afisa Biashara jiji la Arusha Huruma Kibendwa akitoa maelezo kwa wajumbe waanzilishi wa chama kipya cha usharika cha Tanzanite Mining and Trading cooperative society limited jijini arusha jana

No comments: