Sunday, March 17, 2013

ZIARA YA WAANDISHI WA HABARI KIWANDA CHA A TO Z

Mwandishi wa kampuni ya Habari Corporation na MC Abraham Gwandu, akifungua shampign jana katika hafla fupi iliyofanyika ukumbi wa TEXAS baada ya kumalizika kwa ziara ya kutembelea kiwanda cha A TO Z

Mwandishi wa kituo cha radio cha Radio 5 Ashura mohamedi(katikati), Pamela Mollel (wa kwanza kushoto) wa gazeti la Majira na Bertha Ismail wa kutoka Arusha wakicheza muziki wakati wa hafla fupi baada ya kumalizika kwa ziara ya kutembelea kiwanda cha A to Z.

kutoka kushoto Arusha Mohamed wa Radio 5, Mwandishi wa Channel Tena Jamila Omari na Pamella Mollel wakiserebuka taarab mara baada ya kumalizika kwa ziara ya kutembelea kiwanda cha A TO Z jana

Mwandishi Peter Saramba wa Mwananchi akiwa ndani ya Chandarua kinachotengenezwa na kiwanda cha A TO Z

Meneja Uajiri na msemaji mkuu wa kiwanda cha A TO Z George Abeid akiwaonyesha waandishi wa habari wanachama wa APC bidhaa zinazozalishwa na kiwanda hicho jana

Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha wakishuhudia namna ambavyo nishati ya kuendeshea mashine za kuendeshea mitambo ya kiwanda cha ATO Z inavyofanyakazi, anayeonekana mbele ni Asraji Mvungi wa ITV

Burudani ikikolea: Meneja uajiri wa A TO Z George Abedi akimtuza Pamella Mollel baada ya kuridhika na style yake ya kucheza

Sehemu ya tawi linalotumika kama nishati ya kuendeshea mitambo ya kiwanda cha A TO Z

Kassim Kiko akionyeshwa sehemu ya bidhaa zinazozalishwa na kiwanda cha A TO Z

Waandishi wa habari wakiwa ndani ya kiwanda

Wafanyakazi wa A TO Z wakiweka malighafi inayotengeneza chandarua tayari kwa kuyeyushwa ili kutoa nyuzi jana kiwandani hapo

Waandishi wa habari wakishuhudia msitu unaotumika kukatwa matawi na kiwanda cha A TO Z kwa ajili ya kuendeshea mitambo ya kiwanda hicho

No comments: