Friday, April 26, 2013

TASWIRA SOKO LA MBAUDA LEO ASUBUHI...

Wafanyabiashara wakiuza bidhaa zao pembeni ya barabara

wafanyabishara wakiuza bidhaa zao pembeni ya barabara ya mbauda kwa mrombo leo

Mfanyabiashara wa Kuku akimchinja kuku tayari kwa kuuza

mzee huyu alinaswa na kamera yetu akiwa amebeba kuni, pembeni na soko la Mbauda


Wafanyabiashara wa viatu

Gari hili aina ya Scania lilitumbukia katika mtaro karibu na benki ya Azania na kusababisha foleni kubwa kwa wakazi wanaotumia barabara ya Mbauda kwa Morombo

No comments: