Thursday, June 20, 2013

MAELFU WAJITOKEZA KUMZIKA KATIBU WA CHADEMA SOKONI ONE, SEHEMU YA KWANZA SAFARI KUTOKEA MOCHWARI

Maelfu ya waombolezaji wakitoka mochwari



Askari Polisi wakiwa pembeni mwa barabara wakiangalia msafara ukiendelea kutoka mochwari kwenda kwenye maziko





Askari Polisi wakiwa wamesimama pembeni huku mwili wa marehemu Judith ukiwa unapelekwa kanisani kwa maziko

No comments: