Thursday, August 22, 2013

BREAKING NEWS, NDEGE NDOGO YA TANZANIAIR YAHOFIWA KUANGUKA NDANI YA ZIWA MANYARA, ABIRI WOTE WAZIMA

Ndege ya kampuni ya tanzanair iliyokuwa ikitokea bukoba kuelekea zanzibar,imeanguka hivi punde katika ziwa manyara.mpaka muda huu bado inaelea majini,abiria wote sita pamoja na pilot wa saba bado wamo ndani ya ndege.taarfa za hivi karibuni zinasema kuna bot
i imetoka serena kwenda kuwaokoa. miongoni mwa abiria waliokuwepo ndani ya ndege hiyo ndogo ni pamoja na wakili Ishengoma.

No comments: