Monday, August 19, 2013

SIKU MDAU NEEMA CHALAMILA ALIPOFUNGA SAFARI YA KUTEMBELEA HIFADHI YA NGORONGORO KUJIONEA WANYAMAPORI WA KILA AINA NDANI YA BONDE HILO

Neema Chalamila akiangalia kwa kutumia kifaa maalum cha kujaribu kuona wanyama walioko mbali na eneo alilosimama katika mamalaka ya hifadhi ya Ngorongoro

Neema Chalamila kulia pamoja na washkaji zake

Neema Chalamila akiwa katika picha ya pozi katika mti ambao pia ni moja ya vivutio katika bonde la hifadhi ya Ngorongoro

Mdau Neema Chalamila akiwa amepozi juu ya boneti ya gari waliyosafiria

No comments: