Tuesday, September 10, 2013

KAMATI YA UTENDAJI YA APC YAPIGWA MSASA MAFUNZO YA UONGOZI NA NAMNA YA KUANZISHA SACCOS ILI KUSAIDIA WANACHAMA WAKE

Wajumbe wa kamati ya utendaji wakiwa kwenye mafunzo ya namna ya kuanzisha saccos nje kidogo ya mji wa Arusha hivi karibuni wa kwanza kushoto ni Claud Gwandu (Mwenyekiti), David Frank, Charles Ngereza, Janeth Mushi , Pamela Mollel, Swai(Afisa ushirika Mkoa wa Arusha), Mustafa Leu na Semmy Kiondo




Mwezeshaji wa mafunzo ya uongozi, Bill Mushi katikati mbele, akitoa maelezo muhimu ya namna ambavyo viongozi wanapaswa kuongoza katika mafunzo ya siku moja kwa kamati ya utendaji yaliyofanyika hivi karibuni nje kidogo ya mji wa Arusha

Mwezeshaji Bill Mushi akisisitiza jambo

wajumbe wakimsikiliza kwa makini mwezeshaji Bw.Bill Mushi

No comments: