Wednesday, September 18, 2013

KLABU YA WAANDISHI WA HABARI ARUSHA YATOA TUZO KWA TANAPA KWA KUTAMBUA MSAADA INAOPATA KUTOKA KATIKA SHIRIKA HILO

Katibu waw APC Semmy Kiondo akimkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi, fulana yenye nembo ya klabu hiyo 

Katibu Mkuu wa APC akimsaidia mkurugenzi mkuu wa TANAPA Allan Kijazi kuweka fulani ndani ya mfuko

Mwenyekiti wa APC, Claud Gwandu akimkabidhi tuzo ya heshima mkurugenzi wa TANAPA Allan Kijazi kwa kutambua mchango wa shirika hilo kwa APC 

Katibu Mkuu wa APC Semmy Kiondo akiagana na Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijana mara baada ya kumalizika kwa zoezi la kumkabidhi tuzo kwa kutambua mchango wa shirika hilo kwa APC 

Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi, akisalimiana na mjumbe wa kamati ya utendaji Janeth Mushi. katikati ni mwekahazina wa APC Pamela Mollel

No comments: