Tuesday, September 10, 2013

TANAPA YAAHIDI USHIRIKIANO ENDELEVU NA APC, NI BAADA YA KAMATI YA UTENDAJI KUMTEMBELEA MKURUGENZI MKUU OFISINI KWAKE

Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA, Allan Kijazi

Wajumbe wa kamati ya utendaji wakiwa ofisini kwa mkurugenzi mkuu wa TANAPA,

Katibu msaidizi wa APC, Mustafa leu (hayupo pichani), akijitambulisha kwa mkurugenzi wa TANAPA Mbele aliyevaa miwani

Kutoka kulia David Frank, Mustafa Leu, Semmy Kiondo na Pascal Shelutete wakiwa ofisini kwa mkurugenzi Mkuu wa TANAPA

Mwenyekiti wa APC, Claud Gwandu akizungumza kwa niaba ya wajumbe wa kamati ya utendaji walipomtembelea Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi anayesikiliza ofisini kwake jana

Meneja Mawasiliano wa TANAPA Pascal Shelutete kushoto, Semmy Kiondo (Katibu Mkuu wa APC), na Mustafa Leu (Katibu Msaidizi), wakimsilikiza mkurugenzi Mkuu wa TANAPA, Allan Kijazi (hayupo pichani).

Katibu Msaidizi wa APC, Semmy Kiondo akichangia jambo katika ziara hiyo ofisini kwa mkurugenzi mkuu wa TANAPA

Meneja Mawasiliano wa TANAPA Pascal Shelutete akichukua dondoo katika mkutano huo mfupi

Makamu Mwenyekiti wa APC, Charles Ngereza akisaini kitabu cha wageni

Mjumbe wa kamati ya utendaji Janeth Mushi akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa TANAPA (hayuko pichani)


Mkurugenzi wa TANAPA, Allan Kijazi akizungumza katika kikao hicho kifupi, nakuahidi kuendelea kushirikiana na APC katika shughuli zake

Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi

Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi akiagana na Mwenyekiti wa APC Claud Gwandu

Katibu Mkuu wa APC, Semmy Kiondo akiagana na Mkurugenzi wa TANAPA Allan Kijazi

Mkurugenzi wa TANAPA Allan Kijazi akiagana na wajumbe

No comments: