Tuesday, September 10, 2013

WAANDISHI WA HABARI ARUSHA WAHIMIZWA KUANDIKA HABARI ZA MAKALA

Washiriki wa mafunzo ya uandishi wa habari za Makala wakimsikiliza kwa makini mwezeshaji wa mafunzo hayo yaliyofanyika hivi karibuni jijini Arusha, kutoka kulia mbele ni Janeth Mushi, Cynthia Mwilolezi na Abraham Gwandu

Washiriki wa mafunzo ya uandishi wa habari za makala wakimsikiliza kwa makini mwezeshaji Evaristi Mwitumba(hayuko pichani), wa kwanza kulia ni Raymond Nyamwihula.


Washiriki wa mafunzo ya uandishi wa habari za makala kutoka kushoto Claud Gwandu, Mohamed Isimbula na Angelo Mwoleka wakimsikiliza kwa makini mwezeshaji alipokuwa akifundisha somo hilo

Washiriki wa mafunzo ya uandishi wa habari za Makala wakionekana kwa wingi katika picha



Washiriki wa mafunzo ya uandishi wa habari za Makala wakiwa katika picha ya pamoja nje ya ukumbi wa hoteli ya Olasiti Garden nje kidogo ya jiji la Arusha

No comments: