Monday, November 18, 2013

WABUNGE EALA WAMPONGEZA RAIS KIKWETE KUHUSU JUMUIYA HIYO

Waandishi wa habari wakiwasikiliza wabunge wa bunge la afrika mashariki walipokuwa wakimpongeza rais kikwete kwa msimamo alioonyesha kuhusu jumuiya hiyo

Kushoto katibu wa wabunge wa Eala shyrose bhanji kushoto na mbunge mwenzake adam kimbisa wakizungumza na waandishi wa habari

No comments: