Saturday, April 12, 2014

BILIONEA WA KIMAREKANI HOWARD G. BUFFET AAHIDI MAKUBWA VITA DHIDI YA UJANGILI NCHINI

Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu akizungumza na wanafunzi wa chuo cha Pasiansi, kulia ni Bilionea wa Kimarekani Howard G Buffet

Waziri Nyalandu pamoja na Bilionea Buffet wakisalimiana na wafanyakazi wa chuo cha Pasiansi, Mwanza

Bilionea wa Kimarekani Howard G Buffet akipanda mti katika chuo cha  Wanyamapori cha Pasiansi


Bilionea wa Kimarekani Howard Buffet akisalimiana na mkuu wa idara ya mafunzo chuo cha Wanyamapori Pasiansi, Venance Tossi alipotembelea chuo hicho jana

Bilionea wa Kimarekani akipanda mti

Askari walioko kwenye mafunzo katika chuo cha Wanyamapori cha Pasiansi wakimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu

Waziri Nyalandu na Bilionea wa Kimarekani Buffet wakikagua gwaride la askari wanafunzi wa chuo cha wanyamapori cha Pasiansi

Tajiri duniani wa kimarekani Buffet pamoja na waziri Nyalandu wakiwa kwenye jukwaa ndani ya chuo cha wanyamapori cha Pasiansi ulipokuwa ukipigwa wimbo wa Taifa kabla ya kuanza kukagua gwaride la askari wanafunzi chuoni hapo

No comments: