![]() |
Mwanachama Abraham Gwandu akichangia katika taarifa ya fedha |
![]() |
Claud Gwandu akijinadi mbele ya wajumbe akiwania nafasi ya Mwenyekiti wa APC kwa mara nyingine |
![]() |
Charles Ngereza akisikiliza swali kwa makini kutoka kwa mmoja wa wajumbe |
![]() |
Charles Ngereza akiwaomba wajumbe kura kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti |
![]() |
Mwandishi na mwanachama wa APC Jane Edward akimuuliza swali mgombea |
![]() |
Mwandishi Ashura Mohamed akimuuliza swali mmoja wa wagombea |
![]() |
Mwanachama Lilian Joel akiuliza swali mmoja wa wagombea |
![]() |
Mgombea wa nafasi ya mwekahazina Pamella Mollel akijinadi mbele ya wapiga kura |
![]() |
Msimamizi wa uchaguzi Deus Buganywa akisoma matokeo |
![]() |
Viongozi wapya walioingia madarakani na ambao hawakuwa viongozi kipindi cha miaka mitatu iliyoisha, kutoka kushoto ni Pamela mollel(Mweka hazina), Janeth Mushi (Mjumbe) na Semmy Kiondo(katibu mkuu) |
![]() |
Viongozi wapya waliochaguliwa na ambao wamerudia nafasi zao walizokuwa nazo awali, kutoka kushoto ni Claud Gwandu(Mwenyekiti), Charles Ngereza (Makamu Mwenyekiti) na David Frank (Mjumbe) |
![]() |
Msimamizi wa Uchaguzi Deus Buganywa akitoa nasaha baada ya kutangaza matokeo ya uchaguzi wa uongozi mpya wa APC |
![]() |
Msimamizi wa Uchaguzi Deus Buganywa ambae pia ni mjumbe wa bodi ya wakurugenzi akimpongeza mwenyekiti Claud Gwandu |
![]() |
Mwenyekiti mpya aliyerejea nafasi yake Claud Gwandu akitoa salamu baada ya kutangazwa mshindi |
![]() |
mara baada ya uchaguzi, Mwenyekiti akizungumza jambo na Msimamizi wa uchaguzi Deus Buganywa kutoka Mwanza |
No comments:
Post a Comment