Tuesday, April 1, 2014

NCAA YAKABIDHIWA VITUO VYA MAMBO YA KALE VYA OLTUPAI NA LAITOLIE

John Kimaro (kushoto) akimkabidhi hati ya makabidhiano ya vituo vya Oltupai na Laitole kwa mhifadhi wa Ngorongoro Dkt.Fred Manongi kwa ajili ya kuvisimamia. Aliyesimama katikati na kupiga makofi ni meneja mawasiliano wa Mamlaka hiyo Adam Akyoo.

John Kimaro akisaini hati ya kukikabidhi vituo vya Laitole na Oltupai kwa uongozi wa Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA)

Uongozi wa kituo cha mambo ya kale cha Oltupai pamoja na uongozi wa mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro wakiwa katika picha ya pamoja 

No comments: